Opportunies

website call

Mwito wa kutuma maombi: Ushirika wa Hadithi za Uchambuzi wa Rasilimali za Maji za Kimkakati (Call for applications: Strategic Water Resources Analysis Stories Fellowship)

InfoNile  na MiCT/ The Nile inaalika wanahabari walioko nchi za Uhabeshi, Eritrea, Misri, Sudan, Sudan Kusini, Kenya, Tanzania, Rwanda, Burundi na DRC wanaombwa kuwasilisha maombi ya habari upekuzi aina ya mseto(multimedia) inayohusika na /au malengo ya Nile Basin Initiative (NBI) Strategic Water Resources Analysis na kuzilinganisha na seti ya data na makadirio mitindo katika bonde […]
By:
Soma zaidi...

Ufadhili Ndogo ya Uandishi Kuhusu Uhalifu  Dhidi ya Wanyapori Afrika Mashariki (Small Grant for Writing About Crimes Against Wildlife in East Africa)

InfoNile pamoja na Oxpeckers Investigative Environmental Journalism inawaalika waandishi wa habari kutoka Uganda, Kenya, Tanzania and Rwanda kuwasilisha wazo la undani kuhusu uhalifu kwa wanyamapori na juhudi za kisheria za  Afrika Mashariki. Muungano wa kimataifa ya kupambana na uhalifu wa Wanyamapori (The International Consortium on Combating Wildlife Crime) unaelezea uhalifu wa wanyamapori kama kuwanasa, kufanyia […]
By:
Soma zaidi...

Wito wa Kuomba Ruzuku: Namna Covid-19 ilivyoathiri usimamizi wa kilimo cha umwagiliaji katika nchi za Bonde la Mto Nile

Kilimo ni tegemeo kubwa la uchumi wa bara  la Afrika na kati ya asilimia 20 hadi 35  ya Pato  jumla la Mataifa mengi ya Afrika hutegemea kilimo. Janga la Korona ni kadhia inayoendelea kuleta athari kubwa kwenye uchumi wa nchi nyingi barani Afrika. Hatua zinazochukuliwa kwenye baadhi ya nchi katika kujaribu kuzuia kuenea kwa janga […]
By:
Soma zaidi...