Misitu

Julia Asekenya of Tajar Kolir in Bukedea district collecting water from the nearby stream which is their main source
Hadithi Zote
Uganda

Watoto Walionusurika Maporomoko ya Udongo Waongoza Jitihada za Kupanda Miti katika Kambi Mpya ya Bunambutye Waishiyo iliyo na Upungufu wa Maji

Na Javier Silas Omagor Mamia ya watu wanapambana na upungufu mkubwa wa maji safi na salama katika vijiji vya Bunambutye ambavyo ni makazi mapya ya wahanga wa maporomoko ya maji, huku kwa upande mwingine wakipambana na janga la Corona. Kaya takribani 140 zilizoathirika katika Awamu ya II zilihamishiwa kutoka Bududa na kupelekwa makazi ya Bunambutye […]
By:
Soma zaidi...
Pictures INfoN
Hadithi Zote
Sudan South

Green Horizon, mradi wa usalama wa chakula washughulikia maslahi ya jamii za Jebel Ladu huku ukikuza mazao kutuliza janga la njaa nchini Sudan Kusini

Zaidi ya hektari milioni 2.5 ya ardhi nchini Sudan Kusini imetwaliwa na wawekezaji haswa wa kimataifa tangu mwaka wa 2006 Na David Mono Danga Ripoti hii imetayarishwa kwa ushirikiano wa InfoNile na Code for Africa na usaidizi kutoka kwa Pulitzer Center. Sudan Kusini, taifa changa zaidi duniani inakumbana na changamoto nyingi, ikiwemo umaskini na njaa. […]
By:
Soma zaidi...
Scidev.Net Hunger
Misitu
Sub-Sahara Africa

Bara Afrika Lazama katika Njaa Zaidi

[DAR ES SALAAM] Inawalazimu viongozi wa Afrika kuwa na utashi wa kisiasa ili kupambana na ukosefu wa chakula kama ambavyo ripoti mpya inavyo onyesha, kwamba njaa inazidi kuongezeka kufuaitia miaka mingi ya kuzorota barani, mtaalamu amesema. Kulingana na ripoti hiyo ambayo ilizinduliwa mwezi huu (Februari 13) nchini Uhabeshi, Kusini mwa Jangwa la Sahara ndio eneo […]
By:
Soma zaidi...
DSC01372
Hadithi Zote Misitu
Tanzania

Kidimbwi Chaokoa Mto Mara Kutokana na Uchafuzi Unaosababishwa na Uchimbaji Thahabu

Na Jacob Mugini Barabara inayoelekea Murito yapitia mashamba madogomadogo na yale makubwa ya kilimo, lakini yafika hapa Tarime, eneo la Mara, kaskazini mwa Tanzania. Miaka miwili iliyopita, kabla ya kidimbwi kinachotumika kusafisha thahabu kujengwa katika kijiji hiki, Murito ilikuwa kama vijiji vinginevyo kaskazini Tanzania. Lakini sasa, jamii hii kakamavu, ambamo Bi Eliza Mogesi, mkulima mdogo […]
By:
Soma zaidi...