Ardhi

dsc 0095 1
Hadithi Zote
Kenya

TAKA hadi MALI: Jinsi ambavyo wakulima nchini Kenya wanavyohuisha maeneo ya vinamasi Ziwani Victoria yaliyozorota

Mradi wa miaka mitatu wa Ecofinder Kenya, shirika lisilo la kiseriakali linaloshirikiana na Winam Gulf Wetlands mjini Kisumu, liliwapa jamii zinazoishi katika vinamasi vya Ziwa Victoria vichocheo ndiposa nao waweze kuhifadhi vinamasi. Na Annika McGinnis Mabadiliko ya tabia nchi, kilimo na mabwawa huathiri pakubwa vinamasi nchini Kenya – hivyo kuchangia shida iliyoko ya maji na […]
By:
Soma zaidi...
Webp.net compress image 3
Hadithi Zote
Uganda

Miongo ya Matumizi Busara Yazalisha Matunda Katika Kinamasi cha Kabale

Makubaliano ya umiliki wa kijamii katika kinamasi cha Mugandu-Buramba kimethibiti Kinamasi hiki kwa miaka 40, huku kikiwasaidia wakulima kupata maishilio   Makala na midia-anuai na Fredrick Mugira Usaidizi wa kifundi na Annika McGinnis na Code for Africa   Maua inachanuka katika kinamasi cha Mugandu-Buramba kusini magharibi mwa Wilaya ya Kabale nchini Uganda, kuna yale ya […]
By:
Soma zaidi...
Marsh 1
Ardhi Maji
Rwanda

Rwanda: Kufurushwa kwa Wawekezaji Kutoka Kwa Vinamasi Kwafanikiwa, Ila Mengi Bado Yahitajika Kufanywa

Makala haya yameandaliwa kwa hisani ya InfoNile na Code for Africa Na Leonce Muvuni Serikali ya Rwanda inajitahidi kuwaondoa wawekezaji wote pamoja na kuharamisha shughuli zote zilizo kinyume na sheria ndani ya vinamasi, kwa madhumuni ya kurejesha hali yao ya kiekolojia. Shughuli hii ya kufutilia mbali ujenzi wa aina yote kutoka sehemu zilizotengwa za vinamasi, […]
By:
Soma zaidi...