Stories / Author

InfoNile Editors

Reformed poachers livelihood FEATURE IMAGE
Hadithi Zote

Vikundi vya wawindaji haramu waliobadilika yanazuia migogoro kati ya binadamu na wanyamapori kwa kuboresha maisha

By Timothy Murungi Miliya Tumuhirwe (42), Fillimon Thembo (53) na Gilait Bwambale Alijja, aliyekuwa na umri wa miaka 18 tu wakati huo, waliuawa na tembo katika Hifadhi ya Taifa ya Queen Elizabeth wilayani Kasese, kusini magharibi mwa Uganda, kati ya mwaka 2021 na 2022. Walikwenda hifadhini kutafuta kuni. Constance Kabugho (36), ambaye alikuwa na ujauzito […]
By:
Soma zaidi...