Stories / Author

Delicate Sive

irrigation
Hadithi Zote

Wakulima wa mpunga Uganda waibuka na mbinu mpya baada ya kilimo cha umwagiliaji kufeli

John Okot na David Okema Mto ukiwa unatiririsha maji yake taratibu kutokea kilima cha Langiya kilichopo katika mpaka wa nchi za Uganda na Sudan Kusini, bwana Godffrey Ingala amesimama katikati ya shamba lake la mpunga akiwa hana la kufanya akishuhudia mazao aliyopanda yakinyauka na mingine yakiwa dhaifu. Mkulima huyu mwenye umri wa miaka 42 hana […]
By:
Soma zaidi...
Tanapa 1
Hadithi Zote

Ujangili Baada ya Kusitishwa Shughuli za kawaida:Tishio kwa Uhifadhi katika Lulu Iliyojaliwa ya Afrika

Na Cliff Abenaitwe Stanley Turyakira mkazi wa Wilaya ya Kanungu, Kusini Magharibi mwa Uganda anakabiliwa na kifungo cha miaka miwili hadi mitano jela au faini ya mamilioni ya shilingi ya Uganda au zote mbili kwa sababu ya ujangili. Turyakira ni miongoni mwa mamia ya washukiwa ambao wanahukumiwa na Standards, Utilities & Wildlife Court (SUW). Alikamatwa […]
By:
Soma zaidi...