Jitihada za uhifadhi zaanza kuzaa matunda Tanzania, wanyamapori wakiongezeka
Katavi, sawa na maeneo mengine ya hifadhi, ujangili wa wanyamapori ni changamoto kubwa. Hii ni kwa sababu mbuga hiyo haina uzio; kwa hiyo, mtu yeyote anaweza kuingia na kuua wanyama kwa urahisi ikiwa atabahatika kutoka bila kukamatwa.