Kenya Yaangalia Ndani mwa Kisichofahamika: Hifadhi Yake ya Maji ya Chini Kwa Chini

Kenya Yaangalia Ndani mwa Kisichofahamika: Hifadhi Yake ya Maji ya Chini Kwa Chini

Na Isaiah Esipisu

UKUNDA, Kenya, Julai 2 (Thomson Reuters Foundation) – Bahari zimeremetazo na kuramba upwani Diani, zimeifanya pembe hii ya kusini mashariki mwa Kenya kuwa mojawapo ya vivutio vikubwa kwa watalii.

Hata hivyo, ni wageni wachache wanaofahamu kwamba maji miferejini mwao inatoka visimani vilivyozamishwa ndani ya matabaka – hifadhi ya chini kwa chini ya maji matamu yanayotumiwa pia na wenyeji, mabiashara na kilimo.

Like this article?

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on Linkedin
Share on Pinterest
Share on Telegram
Share on WhatsApp

Leave a comment

Related Posts