Hifadhi la Kitaifa la Ziwa Turkana (Kenya) Latajwa Kuwa Mashakani Katika Jedwali la Uridhi wa Dunia

Hifadhi la Kitaifa la Ziwa Turkana (Kenya) Latajwa Kuwa Mashakani Katika Jedwali la Uridhi wa Dunia

Kamati la Uridhi wa Dunia, lilokutana kuanzia Juni 24, liliamua leo kusajili Hifadhi ya Kitaifa ya Ziwa Turkana katika orodha ya Uridhi wa Dunia Mashakani, kwa kasababu ya athari za bwawa liliko eneo hilo.

Kamati lilitaja wasiwasi wake kuhusu athari haribifu za bwawa la Gibe III nchini Uhabeshi katika mtiririko na mazingira ya Ziwa Turkana na mradi wa sukari wa Kuraz, ambazo zinahatarisha zaidi eneo hilo.

Like this article?

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on Linkedin
Share on Pinterest
Share on Telegram
Share on WhatsApp

Leave a comment

Related Posts