Mamlaka la kimazingira linalohusisha musitu na wanyama pori eneo la Amhara wamesema kuwa ikiwa hatua hazitachukuliwa kuthibiti mmea vamizi la gugumaji ndani ya Ziwa Tana, mmea huo huenda ukaenea maeneo mengine nchini, hivyo kusababisha uharibifu.

Mamlaka la kimazingira linalohusisha musitu na wanyama pori eneo la Amhara wamesema kuwa ikiwa hatua hazitachukuliwa kuthibiti mmea vamizi la gugumaji ndani ya Ziwa Tana, mmea huo huenda ukaenea maeneo mengine nchini, hivyo kusababisha uharibifu.
Related Posts